Monday, February 27, 2012

JK aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Dar leo

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mh.Jakaya Kikwete ameongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es Salaam .Kikao hicho ni cha kawaida ambapo hufuatilia masuala mbalimbali kuhusiana na utekelezaji wa sera za Chama Tawala.

No comments: