Sunday, March 4, 2012

Kikao cha Kamati Kuu ya CCM

Mwenyekiti wa CCM, Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu wa Rais Dr.Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa pili wa SMZ Balozi Seif Iddi na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakijadili jambo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya CCM ilichofanyika ikulu jijini Dar es Salaam

No comments: