Wednesday, April 27, 2011

TAREHE YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAWI

Ndugu Wanachama wa Chama cha mapinduzi,
Ufuatao ni utaratibu wa mwisho katika kukamilisha mchakato mzima wa uchaguzi wa viongozi wa Tawi letu;

Siku ya Mwisho ya kuchukua na kurudisha fomu za maombi ya uongozi ni Jumapili, Tarehe 8 may 2011.

Na siku ya uchaguzi wa viongozi ni Jumapili, tarehe 22 may 2011.

Tafadhari hakikisha umepata kadi na umelipia ada yako ya mwaka kabla ya siku ya uchaguzi, kwani ni wanachama hai tu watakaoruhusiwa kushiliki katika uchaguzi huu.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,

ABDALLAH NYANGASA,

KAIMU KATIBU MKUU

TAWI LA CCM MAREKANI.

No comments: