

Habari kutoka Biharamulo nikwamba CCM imeshinda kwa kishindo uchaguzi mdogo katika wilaya ya Biharamulo Magharibi katika kujaza nafasi ya ubunge iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa wilaya hiyo marehemu Phares Kabuye aliyefariki dunia mwanzoni mwa mwaka huu. Mgombe wa ubunge tiketi ya CCM Mh. Oskal Mukasa ameibuka kidedea kwa ushindi wa jumla ya kula 17,561 ambazo ni zaidi ya asilimia 51 ya kula zote zilizopigwa. Idadi ya wapigakula waliojitokeza inakadiliwa kuwa ni 34,000 kati ya 87,000 ya waliojiandikisha kupiga kura
Msomaji
Biharamulo
Msomaji
Biharamulo
No comments:
Post a Comment