RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MKUU WA MAJESHI WA AFRIKA KUSINI
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini na maafisa wengine wa nchi hizi mbili wakati walipoonana na rais Ikulu jijini dar es salaam, kushoto ni Jenerali Godfrey Ngwenya Mkuu wa majeshi Afrika kusini na kulia ni Jenerali Davis Mwamunyange Mkuu wa majeshi wa Tanzania.
Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu Mkuu wa Majeshi ya Afrika ya kusini Jenerali Godfrey Ngwenya wakati alipomtembelea ikulu jijini Dar es salaam
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment