Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwa amembeba mtoto Monde Muteka anayelelewa katika kijiji cha watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha (SOS) kilichopo katika mji wa Livingstone nchini Zambia . Mama Kikwete alitembelea katika kijiji hicho hivi karibuni ili kuona jinsi watoto hao wanavyolelewa kituoni hapo.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (katikati) na Mke wa Rais wa Zambia Mama Thandiwe Banda (kulia) wakiangalia chumba wanacholala baadhi ya watoto wanaolelewa katika kijiji cha watoto yatima na wanaoishi katika mazingira magumu cha (SOS) kilichopo katika mji wa Livingstone nchini Zambia . Kushoto ni Esther Balengu ambaye ni mama mlezi wa nyumba hiyo. Wake hao wa Marais walitembelea katika kijiji hicho hivi karibuni ili kuona jinsi watoto hao wanavyolelewa kituoni hapo.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment