Rais Kikwete Mgeni Rasmi Siku ya wanawake Duniani Kitaifa Mkoani Tabora
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilihutubia taifa wakati wa kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani zilizofanyika kitaifa katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi,Tabora leo mchana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia baadhi ya bidhaa zinazozalishwa na vikundi mbalimbali vya wanawake wa mkoa wa Tabora wakati alipotembelea mabanda ya maonesho katika viwanja vya Chipukizi mkoani Tabora leo. Umoja wa Wanawake wa UWT wakipita mbele ya Mh. Rais Jakaya Kikwete na wananchi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo mkoani Tabora.
Sehemu ya wakazi wa mji wa Tabora na mikoa mingine ya jirani waliohudhuria kilele cha sherehe ya siku ya Wanawake duniani iliyofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora leo mchana.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment