Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua shamba la mahindi lililolimwa kwa ubora na mkulima Bwana Abdallah Sebitango Balakekenwa katikA KIJIJI CHA Mbola KAta ya Ilolangulu, Wilayani Uyui, mkoa wa Tabora.Mkulima huyo mwenye kumiliki shamba la ekari 25 ana wake wawili na Rais Kikwete ameahidi kumnunulia ng’ombe wa kulimia ahadi hiyo ilitimizwa hapo hapo
Msomaji
Tabora
No comments:
Post a Comment