Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mh. Aman Abeid Karume akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa kituo cha Redio Jamii kilichopo Micheweni kilichojengwa kwa nguza za wananchi na Serikali pamoja na shirika la UNESCO katika kusherekea miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar
Rais Karume akizungumza na mwakilishi wa UNESCO Bi. Vibele Jensen mara baada ya kuzindua kituo cha Redio Jamii kilichopo Micheweni kisiwani Pemba katika kuadhimisha miaka 46 ya mapinduzi ya Zanzibar yanayofanyika leo kisiwani humo.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment