KAMATI YA BUNGE YAJADILI MAENEO YA MABADILIKO KATIKA SHERIA MPYA YA MADINI
Waziri wa Nishati na madini Wiliam Ngeleja akiongea na wajumbe wa kamati Bunge ya Nishati na Madini (hawapo pichani)wakati wa mkutano wa siku mbili kujadili maeneo mbalimbali ya mabadiliko katika sheria ya madini ya mwaka 1998 na hatimaye kupata sheria mpya ya madini itakayotoa miongozo ya namna nchi itakavyofaidika kutokana na rasilimali hiyo leo wilayani Bagamoyo.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakifuatilia kwa makini hotuba ya Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kazi na kamati ya Bunge kujadili maeneo ya mabadiliko katika sheria ya madini ya mwaka 1998 na hatimaye kupata sheria mpya ya madini itakayotoa miongozo ya namna nchi itakavyofaidika kutokana na madini leo wilayani Bagamoyo.
Wajumbe wa kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakiwa katika picha ya pamoja wakiongozwa na Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (katikati) mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa kazi na kamati ya Bunge kujadili maeneo mbalimbali ya mabadiliko katika sheria ya madini ya mwaka 1998 na hatimaye kupata sheria mpya ya madini leo wilayani Bagamoyo.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment