skip to main |
skip to sidebar
JIONEE ZIARA YA WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA SOKONI KARIAKOO ILIVYOKUWA
Hili ndilo soko la Kariakoo Dar es salaam, siku hizi liko safi kwa nje maana wamachinga walifukuzwa mambo yote ndani.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwasili katika soko la Kariakoo akifuatana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Patrick Sere.
3 comments:
Kweli kazi hipo
Wewe msomaji uliyetuma hizi picha mbona haukutueleza kama huo uchafu ndio andagraundi yenyewe au hapo nikwenye shimo la uchafu. Mungu waepushe watanzania wenzagu na mabalaa kama haya
Nimependa sana ufafanuzi juhuu ya boshen, kumbe kanyaboya
mteja
kariakoo
Post a Comment