Hivi ndivyo barabara ya Kilwa inavyoonekana kwa sasa, barabara hiyo inategemewa kupunguza sana msongamano wa magari uliokuwepo katika eneo hili lenye wakaazi wengi wanaoitegemea njia hii pekee wanapotaka kusafiri.
kikwete anafanya vyema maana hii ni kuwaziba modomo wanaozani serikali yake imeshindwa, sasa waseme mangine. anyway labda huu ni wajibu wa serikali lakini kunakosa gani kuipongeza serikali kwa kutimiza wajibu wake
haya ndio mambo tunayoyahitaji kila siku tunalalamika ni kwamba hatuyaoni haya but kama serikali inafanya mambo kama haya tutalalamika nini. mimi ni ccm damu bt sometimes inaniyusha inaposhindwa kufanya mambo hata yale yanayoonekana ni muhimu na ya lazima. nawapongeza wa ccm marekani kwa jitihada japo na ninyi mmeanza uvivu.
wanaolalamika hawajui serikali inafanya nini
ReplyDeletendejembi naona mmerudi, ulisafiri au ndo ugonjwa tena? blog ilikuwa kama imekufa vile. hayaa bwana endeleza usukani utufikishe salaama kabisa
ReplyDeleteIddy Bonanza
texas
kikwete anafanya vyema maana hii ni kuwaziba modomo wanaozani serikali yake imeshindwa, sasa waseme mangine.
ReplyDeleteanyway labda huu ni wajibu wa serikali lakini kunakosa gani kuipongeza serikali kwa kutimiza wajibu wake
Said
Roma Italy
safari yaendelea japo kwa kusua sua wapinzani mnalo?
ReplyDeletekokusima
haya ndio mambo tunayoyahitaji kila siku tunalalamika ni kwamba hatuyaoni haya but kama serikali inafanya mambo kama haya tutalalamika nini. mimi ni ccm damu bt sometimes inaniyusha inaposhindwa kufanya mambo hata yale yanayoonekana ni muhimu na ya lazima. nawapongeza wa ccm marekani kwa jitihada japo na ninyi mmeanza uvivu.
ReplyDeletenataka ikamilike haraka tena sanaaa tumechoka foleni.
ReplyDeletehija
mbagala kizuiani
safi hiyo haya kazi kwako mtumiaji
ReplyDelete