Mafunzo ya Wiki Mbili Kwa Makatibu Wakuu Yalivyofunguliwa
Katibu Mkuu kiongozi Philemon Luhanjo akiongea na waandishi wa habari kuhusu mafunzo ya uongozi yanayofanyika katika hoteli ya Movenpick jijini Dar es Salaam.Mafunzo hayo ya wiki mbili ambayo yameandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma yanatolewa kwa Makatibu wakuu, Manaibu Katibu wakuu pamoja wakurugenzi walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa hizo.Picha Zote na Anna Nkinda - Maelezo
Washiriki wa mafunzo ya uongozi kwa Makatibu wakuu,Manaibu Katibu wakuu pamoja na wakurugenzi walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa hizo wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunguliwa kwa mafunzo hayo ya wiki mbili.Waliokaa mstari wa mbele katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Philemon Luhanjo kulia kwake ni Katibu Mkuu Utumishi George Yambesi na kushoto kwake ni John Odebiy ambaye ni Mwezeshaji wa mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment