CHAMA CHA MAPINDUZI -- TEXAS

Thursday, March 5, 2009

SPIKA SITTA ADHIHIRISHA UZALENDO WAKE KWA TAIFA.

SAKATA la ununuzi wa mitambo ya ufuaji umeme wa dharura ya kampuni ya Dowans Tanzania Limited, jana lilimgusa spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta na kuamua kutoa tamko kali la kuitahadharisha serikali dhidi ya azma yake ya kutaka kuinunua mitambo hiyo yenye utata.Spika Sitta pia ameonya kuwa mkasa wa kampuni tata ya Richmond Development (RDC) LLC uliotikisa kiasi cha kusababisha Edward Lowassa awajibike kwa kujizulu wadhifa wake wa waziri mkuu, lisifufuliwe upya kwa kutumia Dowans, ambayo ilirithishwa mkataba wa miaka miwili wa kufua umeme wa dharura.
msomaji.
Dar es salaam.

CCM-TEXAS at 5:58 AM

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.