Friday, January 2, 2009

Kila sehemu mwaka mpya husherehekewa toufauti, hapa ni Marina bay singapore pindi ilipotimia saa sita kamili usiku wa kuamkia tar. 01/o1/09 hii ni moja kati sehemu ambazo sherehe zake zilifana sana miongoni wa majiji duniani.

Kokusima lyoba,
Marina-Singapore

11 comments:

  1. sijui lini bongo tutasherehekea kama hivi au japo kufanana na jiji hili.

    kijicho
    wa kijitonyama-dar

    ReplyDelete
  2. nawapongezeni ccm marekani kazi yenu si haba kwani mmeonyesha kuwa wabunifu na pengine mnaweza kubuni mambo mengi ya kulisaidia taifa letu tanzania.
    Asanste mr. chairman kwa kazi nzuri
    Ayubu
    Ohio

    ReplyDelete
  3. Asiyemini kwamba mambo ndio yameanza anamatatizo yake mwenyewe
    kwa mwendo hii bwana michael tutafika tuu.

    ReplyDelete
  4. mwendo mdundo kama tumeweza kujenga moja tunaweza kujenga na mengine mengi tu cha msingi tujipangie wakati basi

    richard
    kimara baruti-dar es salaam

    ReplyDelete
  5. we ndejembi tunataka na maraja, majengo na bahari ya kwenu dodoma

    Jumanne
    virginia,
    united state of america

    ReplyDelete
  6. habari ndo hiyo mwana, nishushie na kile kitu cha kibiti- lindi mwanangu najua mijeba itakutumia.
    lete raha wana ccm mtoni

    Jonas
    Atlanta.

    ReplyDelete
  7. hapa mi ndo nina poishi ndugu zangu
    natamani sana mabo ya hapa yangekuwa yanatokea tanzania but ndio hivyo tena


    samson
    mwaipopo
    singapore

    ReplyDelete
  8. haya mambo si ya msingi sana kwa taifa letu la msingi kwa sasa ni maisha bora kwa maana ya kazi, shule, nyumba nzuri na usalama wa watu na mali zao.

    matonya
    dodoma.

    ReplyDelete
  9. keep it up boy! i know dat u know booooy!

    keny
    spain

    ReplyDelete
  10. Hongera Kwa Kuwa na tuvuti hii.

    Mjitahidi kutafuta habari nzuri za kuingiza habari nzuri zinazoweza kueajenga watanzania vyema katika nyanja za siasa.

    Kujua lipi jema na lipi baya.

    Watu husikiliza maneno ya watu wa mtaani wasilo kuwa na wlimu lakini wamekaa kuilaumu serikali na mabo yake.

    Iangalieni jamii ya watanzania inaujinga kasi gani unoweza futika kwa haraka.

    Elimu ya siasa na utawala hasa katika chama iongezwe

    ReplyDelete
  11. Hongera Kwa Kuwa na tuvuti hii.

    Mjitahidi kutafuta habari nzuri za kuingiza habari nzuri zinazoweza kueajenga watanzania vyema katika nyanja za siasa.

    Kujua lipi jema na lipi baya.

    Watu husikiliza maneno ya watu wa mtaani wasilo kuwa na wlimu lakini wamekaa kuilaumu serikali na mabo yake.

    Iangalieni jamii ya watanzania inaujinga kasi gani unoweza futika kwa haraka.

    Elimu ya siasa na utawala hasa katika chama iongezwe


    Huruma Mgaya
    Sinza
    Dar es salaam

    ReplyDelete