Hivi ndivyo hali ilivyokuwa wakati wa sherehe za mwaka mpya coco beach jjijini dar es salaam. Idadi ya watu wanaotembelea eneo hilo imekuwa ikiongezeka siku hadi siku kama inavyoonekana katika picha hii.
bwana mwenyekiti mi nawapongeza sana wewe na timu yako kwa kazi nzuri lkn nilitaka kujua hivi hapa polisi walikuwepo? maana usalama ni jambo muhimu sana
asante bwana michael kwa ushahidi mwingine kwamba wabongo tunapenda sana sterehe kuliko kazi. anyway labda ni kwa sababu ilikuwa sikukuu, kama tunaweza kujikusanya kwa kiwango hiki tukatumia kwa kiwango hiki kwanini tusijikusanye kwa kiwango hiki na tukajitolea kwa kiwango hiki ili kujenga let say shule, madawati au dawa kwa ajili ya mahospitali yetu.
bwana mwenyekiti mi nawapongeza sana wewe na timu yako kwa kazi nzuri lkn nilitaka kujua hivi hapa polisi walikuwepo? maana usalama ni jambo muhimu sana
ReplyDeletekiberiti
Mbeya
hivi ni kwamab hakuna sehemu nyingina ya kustarehe zaidi ya coco beach, kwa nini wajitese kiasi hicho
ReplyDeletelydia
Dallas
ili eneo wala halivutii wala nini basi wabongowabishi yako maeneo mengi mazuri wangeweza kwenda lakini kwa mapenzi yao wameamua kwenda hapo poa tu.
ReplyDeletesimon
paris.
asante bwana michael kwa ushahidi mwingine kwamba wabongo tunapenda sana sterehe kuliko kazi. anyway labda ni kwa sababu ilikuwa sikukuu, kama tunaweza kujikusanya kwa kiwango hiki tukatumia kwa kiwango hiki kwanini tusijikusanye kwa kiwango hiki na tukajitolea kwa kiwango hiki ili kujenga let say shule, madawati au dawa kwa ajili ya mahospitali yetu.
ReplyDeletechina boy
kigamboni
bongo darisalama
na joto la bongo palikuwa panakalika kweli
ReplyDeletesema nao wajuba hao kwanini wasijione mambo ya bongo tena mngeweza mngewapeperushia live kutoka coco beach
ReplyDeletegoodfrey
Ubungo
dar es salaam