SERA YA MAJI YAJADILIWA NA WADAU WA MAJI NA TAASISI ZAKE
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Prof. Marck Mwandosya akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali mara baada ya kufungua warsha ya Mkakati wa pamoja wa kuangalia upya sera ya maji iliyoanza leo katika jengo la Ubungo Plaza jijini Dar es alaam, Warsha hiyo inashirikisha wadau mbalimbali wa maji na Taasisi zake na itaendelea mpaka kesho.
Washiriki mbalimbali wa warsha ya Mkakati wa pamoja wa kuangalia upya sera ya maji inayofanyika leo Ubungo Plaza jijini Dar es salaam wakisikiliza kwa makini wakati Waziri wa maji na umwagilaji Prof Marck Mwandosya alipokuwa akifungua warsha hiyo.
Imani za CCM zimejengwa chini ya misingi ya usawa kwani binadamu wote ni sawa. CCM kinalenga kumuwezesha mwananchi yeyote wa Tanzania kupata maendeleo.
U.S.A.
Contact
Welcome to the blog of CCM members living in the State of Texas in the United States of America. If you'd like more information about CCM, please contact us at ccmtexas12@gmail.com. We welcome suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us and we'll assist you as quickly as possible.
What's the most pressing issue for Tanzanians abroad?
No comments:
Post a Comment