Monday, August 2, 2010
KIKWETE ACHUKUA FOMU ZA URAIS
Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete na mgombea mwenza Dr. Gharib Billal wakiinua fomu za uteuzi kwa wana CCM na wananchi waliofika kwenye ofisi ya Tume ya Uchaguzi jijini Dar es Salaam mara baada ya kuchukua fomu hizo jana.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment