Saturday, June 5, 2010
MWAKILISHI WA ADB NA KIKWETE IKULU
Mwakilishi wa benk ya maendeleo ya Afrika Dr.Sipho Moyo amekutana na rais Kikwete leo Ikulu Jijini Dar es salaam kwa lengo la kumuaga. Dr. Sipho Moyo amemaliza muda wake wa kufanya kazi kama mwakilishi wa benk hiyo nchini Tanzania.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment