Bunge la Namibia laitembelea benki ya wanawake Tanzania
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto Mhe. Lucy Nkya akimpa vitabu mbalimbali kuhusu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake kiongozi wa msafara wa wawakilishi wa Bunge la Namibia bw. Elia George Kayama
Mkuu wa Msafara wa wawakilishi wa Bunge la Namibia Mhe. Elia George Kayama akipata huduma za Kibenki katika Benki ya Wanawake
Wawakilishi wa Bunge la Namibia na Wajumbe a Kamati ya Maendeleo ya Jamii katika picha ya pamoja mara baada ya kutembelea benki hiyo.
No comments:
Post a Comment