Tuesday, October 6, 2009
CCM NCHINI MAREKANI WAKUTANA NA MH. BENARD MEMBE
Uongozi wa Chama cha Mapinduzi - Marekani wiki iliyopita ulikutana na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa ambae pia ni waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Benard Membe mjini Houston Texas.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment