Wednesday, April 1, 2009
Baadhi ya wanajeshi wanaokwenda Darful - Sudan kulinda amani wakiwa katika picha ya pamoja leo. wanajeshi hao waliagwa na katibu mkuu mstaafu wa African Union Organisation (OAU) Dk. Salim Ahmed Salim leo.
Msomaji,
Tanzania.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment