tunahitaji viongozi kujua kwamba ni wajibu wao tena bila kukumbushwa na yeyote kusimamia na njia zote za usafiri, huduma za jamii, ajira nk kwani huo ndio wajibu wao na ili hayo yaweze kutekelezwa lazima wao wawe watu walio mstari wa mbele katika kututmia njia hizo.
ningeshauri wana ccm mtutangazie huu mtandao kwenye jumuia mbalimbali hapa malekani kwani wnegi wanataka kujua mambo mbalimbali lakini nyenzo ndio mzozo.
jamaani hii blog imeanza hasa lini nina mambo mengi sana nilitaka kuwashauri kwanza ninyi viongozi wetu wa ccm hapa marekani na pia viongozi wetu kule africa. nawaomba muwe tayari kupokea na kuutekeleza, nitawatumieni punde.
tunahitaji viongozi kujua kwamba ni wajibu wao tena bila kukumbushwa na yeyote kusimamia na njia zote za usafiri, huduma za jamii, ajira nk kwani huo ndio wajibu wao na ili hayo yaweze kutekelezwa lazima wao wawe watu walio mstari wa mbele katika kututmia njia hizo.
ReplyDeleteRemmy
Maryland university
ningeshauri wana ccm mtutangazie huu mtandao kwenye jumuia mbalimbali hapa malekani kwani wnegi wanataka kujua mambo mbalimbali lakini nyenzo ndio mzozo.
ReplyDeletesafina
chicago
usa
ccm oyeeeee! keep it up guys.
ReplyDeletejack
houston
usa
kumbe hata rais wa marekani hupanda treni!?
ReplyDeletesaaaaaaaaaaaaafi sana wana ccm marekani, huu ndio wajibu ambao watanzania wote wanapaswa kuufanya lkn isiwe kwa manufaa binafsi
ReplyDeletesebastian
jamaica
jamaani hii blog imeanza hasa lini nina mambo mengi sana nilitaka kuwashauri kwanza ninyi viongozi wetu wa ccm hapa marekani na pia viongozi wetu kule africa. nawaomba muwe tayari kupokea na kuutekeleza, nitawatumieni punde.
ReplyDeletewilliam
capital hill
USA