Huyu katibu mbona bomba sana. Bwana Ndejembi naomba nipatie namba basi najua unayo mimi nitamtwangia. CCM nimeishajua janja yenu, mnajitahidi kupata watu wote muhimu katika jamii.Poa lakini ujanja kupata
Mungu wangu, hii kitu safi. Du inakuwaje. Je inabidi nijiunge CCM ndio naweza kuongea naye au namna gani?. Nipatie jibu bwana Ndejembi. Mimi nipo UK, pia ninakupongeza kwa juhudi zako, namna hii utatupata sana
ndejembi hii kitu inakufaa wewe bwana mwenyekiti, au unaonaje? ye katibu londoni na wewe mwenyekiti tena marekani yote si mchezo, beba ngoma hiyo we! we!.
Huyu katibu mbona bomba sana. Bwana Ndejembi naomba nipatie namba basi najua unayo mimi nitamtwangia. CCM nimeishajua janja yenu, mnajitahidi kupata watu wote muhimu katika jamii.Poa lakini ujanja kupata
ReplyDeleteJoseph hapa--DC, U.S.A
Mungu wangu, hii kitu safi. Du inakuwaje. Je inabidi nijiunge CCM ndio naweza kuongea naye au namna gani?. Nipatie jibu bwana Ndejembi. Mimi nipo UK, pia ninakupongeza kwa juhudi zako, namna hii utatupata sana
ReplyDeleteCCM mmenikuna kweli kweli. Naomba nipatie hiyo kadi yenu mapema sana iwezekanavyo.
ReplyDeletendejembi hii kitu inakufaa wewe bwana mwenyekiti, au unaonaje? ye katibu londoni na wewe mwenyekiti tena marekani yote si mchezo, beba ngoma hiyo we! we!.
ReplyDeleteUkweli ni kwamba wanawake wazuri uwa wana rohoo nzuri sana. CCM kwa kumpata dada kama huyu hamjakosea atawasaidia sana na watanzania wote kwa ujumla.
ReplyDeletempenda maendeleo